ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 19, 2018

HISTORIA ISIYOFUTIKA WORLD CUP DHIDI YA SOKA LA DRC (ZAIRE)


 Uhuni haukuanza leo upo tangu enzi za wajomba, tena kipindi hicho kulikuwa na wababe kweli #UndavaUndava na uzinguaji #Gangwe Best time wasting tactic?
#SportsRipoti .
.
.
Timu ya Taifa ya Demokrasia ya Kongo (DRC) iliyokuwa Zaire zamani kwa mara ya kwanza ilijitokeza katika fainali za Kombe la Dunia mnamo mwaka  1974 ikiijulikana Zaire.

Vilevile ilikuwa ni timu wa kwanza kutoka ukanda wa Sahara barani Afrika kushiriki fainali za michuano ya Kombe la Dunia.
.

Pamoja na kusukuma kandanda safi na la kuvutia dhidi ya  Scotland na Brazil, timu hiyo katika michezo mitatu tu ya fainali hizo walikung'utwa jumla ya magoli 0-14. .

Way back Thursday #WBT aka #TBT

PIA CHEKI VIDEO YA CHINI ILIYOIGIZA TUKIO LA HASIRA KATIKA FREE KIK

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.