ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 28, 2017

BREAKING: MAALIM AVULIWA UKATIBU MKUU CUF.

Baraza Kuu la Uongozi Taifa la Chama cha Wananchi(CUF) leo limemvua Maalim Seif nafasi ya Ukatibu Mkuu na kumpa Magdalena Sakaya.
Taarifa ya hatua hiyo imetangazwa Mapema leo na Prof Ibrahim Lipumba

Habari zaidi itakujia hivi punde...

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.