ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, February 24, 2017

WEMA SEPETU RASMI AHAMIA CHADEMA KUTOKA CCM

Lady Super Star wa Bongo movie @wemasepetu leo rasmi amekihama Chama cha Mapinduzi CCM na kutinga CHADEMA.

Star huyo mwenye ushawishi kwa jamii aliyetumikia CCM kwa kipindi kirefu hasa kampeni za uchaguzi mkuu 2015 kupitia Movement ya 'Mama Ongea na Mwanao' iliyokuwa na jukumu la kutia ushawishi kwa wanawake kukimini kwa muhula mwingine, Wema amewaambia waandishi wa habari kuwa kuhama kwake hakujashawishiwa na fedha wala rushwa ya aina yoyote zaidi ya maamuzi binafsi na namba moja ya yote ni suala la Demokrasia kuminywa. Zaidi cheki na #www_gsengo_blogspot_com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.