Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha wamevamia kituo cha mazao na misitu cha maliasili kilichopo kijiji cha Jaribu mpakani mwa wilaya ya Mkuranga na Kibiti na kukichoma moto kisha kuwaua watu watatu akiwemo mpelelezi mkuu wa wilaya ya Kibiti mkoani pwani Afande Peter Kubezya. ITV TANZANIA
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.