ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, February 23, 2017

WATU WATATU WAMEUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA WATU WANAODHANIWA KUWA NI MAJAMBAZI KIBITI

Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha wamevamia kituo cha mazao na misitu cha maliasili kilichopo kijiji cha Jaribu mpakani mwa wilaya ya Mkuranga na Kibiti na kukichoma moto kisha kuwaua watu watatu akiwemo mpelelezi mkuu wa wilaya ya Kibiti mkoani pwani Afande Peter Kubezya.

ITV TANZANIA

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.