ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 12, 2017

VIONGOZI WA MADAKTARI NCHINI KENYA KUKAMATWA.

Mgomo wa madaktari nchini Kenya.
Mahakama nchini Kenya imetoa hati ya kukamatwa viongozi wa chama cha madaktari, kutokana na kutokuwepo mahakamani wakati ikitolewa hukumu iliyowatia hatiani ya kuingilia maamuzi ya mahakama

Uamuzi huo wa mahakama umetolewa wakati, serikali ya kitaifa nchini Kenya ikiendelea na jitihada za kufanya majadiliano na madaktari ili kumaliza mgomo wao uliodumaza kabisa huduma za afya katika sekta ya umma.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.