Katika kesi hiyo Chadema kupitia wakili wake, John Malya wanaiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu itengue uchaguzi huo na pia wanaomba mahakama iamuru uchaguzi huo uitishwe upya na walipe gharama za kesi.
Walalamikaji katika kesi hiyo ni Mustafa Abdul Muro na Jumanne Mbunju dhidi ya Benjamin Sitta, Manyama Mangaru, Mwenyekiti wa Uchaguzi wa Kinondoni, Msimamizi wa mkutano huo na Meya na Naibu Meya wa Kinondoni.
Mwanasheria wa chama hicho, John Malya amesema, wamefika mahakamani hapo ili kueleza walichokifanya walalamikiwa si sahihi na kwamba wamekwenda mahakamani hapo kwa ajili ya kutafuta haki.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.