Mwenyekiti wa Bodi ya SOS Tanzania Mama Getrude Mongela akiwapungia mkono wadau waliojitokeza kwenye kusanyiko hilo la ufunguzi wa kituo mkoani Mwanza. |
Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela "Tusipoondoa umaskini kwa watoto nchi itatikisika" |
Wahisani. |
Sala. |
Sala. |
Watoto wa kituo cha SOS Mahina Mwanza walisisimua na nyimbo zao zenye ujumbe. |
Ngoma ya muziki asili ikichagiza. |
Watoto wanapoliteka jukwaa. |
Tuzo ya Heshima kwa walezi ilienda kwa mama mlezi kituo cha SOS Zanzibar |
Tuzo ya heshima. |
Warembo washiriki wa kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2016 nao walihudhuria kusanyiko hilo. |
Wadau:- Watumishi toka dini na madhehebu mbalimbali wamejumuika, nao wafanyabiashara hawako nyuma. |
Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongera akishiriki upandaji miti eneo la kituo cha SOS Childrens Villages Tanzania huku akipewa tafu na washiriki wa kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2016. |
Mama Getrude Mongela akishiriki upandaji miti eneo la kituo cha SOS Childrens Villages Tanzania huku akipewa tafu na washiriki wa kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2016 pamoja na watoto wa kituo.. |
Nyumba kituo cha SOS mkoani Mwanza. |
Nyumba kituo cha SOS Childrens Villages Tanzania tawi la Mwanza. |
Humu kuna huduma zote muhimu. |
Mwanahabari wa Blog Hii Zephania Mandia akitafuata angle ya muonekano kwa njia ya video. |
Waalikwa walipata fursa ya kukagua mazingira. |
Ndani ya vyumba. |
Vitanda na mazingira ya ndani. |
Jikoni kwa kila nyumba ambayo uhudumiwa na mama mmoja akiwa anapewa usaidizi na shangazi. |
Koo pale linapochemka.......hapa ndipo kituoni. |
Picha kwaajili ya kumbukumbu ya kusanyiko. |
Rolf Rakken yu mmoj wa wafadhiri wakuu. |
Mbele ya jiwe la msingi picha ya pamoja na mgeni rasmi Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela, Viongozi pamoja na Wajumbe wa Bodi SOS. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.