ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, September 22, 2016

LUIS ENRIQUE ALIA KUMKOSA MESSI DIMBANI.

 Kocha wa klabu ya Barcelona, Luis Enrique, amesema kikosi chake kitabaki imara ingawa kitamsubiria Lionel Messi aliyepatwa majeruhi kwenye mchezo wa jana wa sare ya 1-1 dhidi ya Atletico Madrid.

Messi alitoka nje kipindi cha pili cha mchezo huo, uliopigwa uwanja wao wa nyumbani baada ya kushtua misuli ya mguu, na anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa wiki tatu.

Enrique amesema kumkosa Messi ni kukosa soka, lakini bado anayo safu ya ushambuliaji iliyo tayari kufanya kazi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.