Kama uko home jumamosi ya leo basi mida hii ya jioni kupitia TBC 1 umetoka kucheki mavituuuuZzz ya hawa majamaa katika kipindi chao 'Ben and mai' ila leo sijamwona kabisa kwenye chupa mwanadada Mai... Where is she bhana?
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasema leo Aprili,19...
6 hours ago