Si wawili tena bali ni mwili mmoja Isaac Abraham Nyanda na Janet Jilungu Yemba sasa ni Mr&Mrs Isaac Nyanda mara baada ya ndoa yao takatifu iliyofungwa leo katika kanisa la AIC Njiro mkoani Arusha.
Maadhari tulivu kanisani.
Sehemu umma waliohudhuria ibada hiyo ya ndoa.
Isaac akimvisha pete Janet.
Janet akimvisha pete Isaac.
Sahihi ya bwana harusi.
Sahihi ya bi harusi.
Maharusi wakitoka kanisani.
Taswira zaidi.
Wanameremetajeeeee!!!!!
Safu ya wapambe.
Mara nkabaaaaa!!! Ukumbini.
Moja kati ya burudani za ukumbini zilizotikisa ile kinomanoma chekshia...hapa ni Mama Paul na Jeremiah.
Jografia ya ukumbi.
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasema leo Aprili,19...
5 hours ago